![](https://stadibox.patrickmamsery.co.tz/storage/uploads/1698348529_self 1.jpg)
Kuunda makundi ya wanafunzi watatu watatu na kuwaagiza wanafunzi Kila kundi kuimba wimbo wanoufahamu,Kila kundi liimbe wimbo wao tofauti na kundi jingine.Baada ya kuimba utawauliza wanafunzi Kila kundi wimbo wao una funzo gani katika maisha yetu ya Kila siku? ,Nyimbo hizi zitasaidia kukuza stadi za maisha katika kufikiri kiufasaha,kusikiliza kwa Makini,kujiamini,kuthubutu,kushirikiana,kuongoza na kuongozwa na kazi hii inasaidia Sana kufundishia Elimu ya awali,Darasa la Kwanza na Darasa la pili
Comments
![avatar](https://stadibox.patrickmamsery.co.tz/assets/img/avatar.png)
Renalda Massawe
2 years ago
Nzuri
![avatar](https://stadibox.patrickmamsery.co.tz/assets/img/avatar.png)
Tukupala Mwalyolo
2 years ago
i like this activity