![](https://stadibox.patrickmamsery.co.tz/storage/uploads/1698347972_leader.png)
"Mazingira safi!" Mwalimu aliandaa michoro , ikionyesha watoto wakifanya shughuli za usafi, wanafunzi wakifagia , wakifyeka nyasi, wakimwagilia maji viunga ,nitawagawia zile picha katika makundi matano , pia nitawauliza wameona Nini kwenye picha kwa Kila kundi