Anza na Mimi
“Anza na Mimi!” Mwambie kila mwanafunzi achore picha yake na kuipaka rangi za chaguo lake. Kutoka kwenye picha aliyochora, kila mwanafunzi aonyeshe mambo anayoweza kuyafanya kwa umahiri kwa kuchora mstari kutoka kwenye picha kuonyesha kila jambo. Mwambie kila mwanafunzi aandike angalau sentensi mbili zinazoanza na “Mimi najipenda kwasababu.......”, Kisha aandike sentensi tatu zaidi zinazoanza na “Marafiki Zangu wananipenda kwa sababu...........” Mwisho kila mwanafunzi aandike anataka kuwa nani akiwa mkubwa. Mwambie kila mwanafunzi awasilishe kuhusu picha aliyochora na taarifa zake mbele ya darasa.
Comments
blessings Rweikiza
2 years ago
nice
blessings Rweikiza
2 years ago
i like it
blessings Rweikiza
2 years ago
vbhjnk
blessings Rweikiza
2 years ago
good
blessings Rweikiza
2 years ago
nisdfgh
blessings Rweikiza
2 years ago
nice job
blessings Rweikiza
2 years ago
Nzuri
blessings Rweikiza
2 years ago
n nzur
blessings Rweikiza
2 years ago
n nzuri
Tukupala Mwalyolo
2 years ago
ni nzuru sana
Tukupala Mwalyolo
2 years ago
ni nzuru sana
Tukupala Mwalyolo
1 year ago
good
Tukupala Mwalyolo
2 months ago
I like this activity immensely
James Kanga
2 months ago
This is nice
James Kanga
2 months ago
This is good for people to know.
James Kanga
2 months ago
Good
James Kanga
2 months ago
So nice
James Kanga
2 months ago
This will be so good
James Kanga
2 months ago
Cheers